Kiswahili Language Version of "Top 10 Myths About Civil Society Participation at ICANN"

Alex Gakuru gakuru at GMAIL.COM
Wed Sep 16 10:56:42 CEST 2009


Thanks all. Sorry I re-spelled her name - correctly it is "Grace Mutung'u"
(as below that message). We are happy to have contributed!

regards,

Alex

2009/9/16 Konstantinos Komaitis <k.komaitis at strath.ac.uk>

>  This is absolutely brilliant and bravo to Alex and Muting’u.
>
> KK
>
>
>
> On 15/09/2009 22:13, "Robin Gross" <robin at IPJUSTICE.ORG> wrote:
>
> Thank you, Alex and Muting'u!   This is certainly a first for NCUC and I
> hope it will help us to reach many more people in East Africa.   Thanks for
> your work to make that happen!
>
> Best,
> Robin
>
>
> On Sep 15, 2009, at 12:05 PM, Alex Gakuru wrote:
>
> Hi Robin, all,
>
> Grace Muting'u has kindly translated the document into Kiswahili
> (spoken by at least 120 million people in East African Community
> member countries alone).
>
> Asante (Thanks) Grace.
>
> Regards,
>
> Alex
>
> ---begins----
> “Porojo Kumi maarufu zaidi  kuhusu uhusikaji wa mashirika ya shirika
> la ICANN”, na NCUC
>
> 21 Agosti 2009
>
> _____________________________________________________________________________
> Porojo ya Kwanza
>
> “Masirika ya kijamii hayatahusika kwenya ICANN chini ya mpango
> uliopendekezwa na NCUC.”
>
> Uwongo: Wafanyakazi wa ICANN na wengine wanadai kwamba
> mashirika  ya  kijamii hukatwa tamaa yasijihusishe na ICANN
> kwa vile mpango uliopendekezwa na ICANN hauhakikishi kwamba
> viti katika Kamati ya GNSO vitagawiwa maeneo au washikadau wote.
>
> Ukweli wa mambo ni kwamba uanachama wa NCUC unawakilisha
> mashirika 143 yasiyo ya kibiashara pamoja na watu binafsi. Tangu
> mwaka 2008 uanachama wa NCUC umeongezeka kwa zaidi ya 215%
> - hii ni kwa mujibu wa mwito wa mashirika ya kijamii. Hakuna shirika
> hata moja lisilo la kibiashara lililotoa maoni kwamba kuwepo tu kwa
> viti vya maeneo katika Kamati ya GNSO ndipo kungewafanya kushiriki
> kwenye ICANN. Katika mashirika yaliyotoa maoni yao, hakuna
> lilisosema ya kwamba lingeshiriki kwenye ICANN sharti katiba ya
> NSCG ingewahakikishia kiti kwenye Kamati ya GNSO.
>
> Porojo ya Pili
>
> “Wengi zaidi kutoka mashirika ya kijamii watashiriki kwenye ICANN
> Bodi itakapoingilia”
>
> Picha ya kweli: Kulazimisha kwa Bodi kwa katiba yake au kutosikiliza
> kwa Bodi kwa vikundi vya mashirika ya kijamii kutaonekana kama
> kukataliwa kwa maoni ya vile vikundi vingi vilivyoonelea kwamba ni hii
> ni dhuluma dhidi ya mashirika ya kijamii. Sifa ya ICANN kati ya
> mashirika yasiyo ya kibiashara itaharibika kabisa hatua mwafaka
> isipochukuliwa au suluhu kupatikana. Hata kama vitendo hivyo
> vingekubalika, matokeo  kamili kwa wafanya kazi na kwa katiba
> ya NCSG itakuwa kuvinyima nguvu vikundi visivyo vya kibiashara
> na kuvifanya hata visipende kushiriki. Kuteuliwa kwa waakilishi na
> Bodi hufurutisha  vikundi visivyo vya kibiashara na watu binafsi.
> Isitoshe, SIC inayowakilisha maeneo au washika dau wote inahitaji
> fedha nyingi sana ambayo mashirika mengi yasiyo ya kibiashara
> hayawezi kusimamilia. Pia, mpangilio huo utaleta mgawanyiko kati
> ya vikundi huku vikipigania wanachama na kura. Vikundi vingi visivyo
> vya kibiashara havitaweza kuingia ICANN GNSO chini ya mpango huo.
>
> Porojo ya Tatu
>
> Kuwepo kwa upinzani kunaweza kupuuzwa tu kama “kampeni ya
> uandikaji barua”
>
> Hii ni shutma isiyo ya kweli: Upinzani mkali wa mashirika ya kijamii
> kwa katiba ya SIC ulitokea si mara moja bali mara mbili. Pia, kulikuwa
> na ongezeko kubwa la wanachama wa NCUC lililotokana na kutopendezwa
> kwa jamii yote kwa jumla na vitendo vya wafanyakazi pamoja na Bodi.
> Kujaribu kupunguza ushiriki wa mashirika ya kijamii hakutafanikiwa na
> kunaonyesha upotovu huu wa hali ya juu. ICANN inahitajika kuwa
>
>
> --
> Dr. Konstantinos Komaitis,
> Lecturer in Law,
> GigaNet Membership Chair,
> University of Strathclyde,
> The Lord Hope Building,
> 141 St. James Road,
> Glasgow, G4 0LT,
> UK
> tel: +44 (0)141 548 4306
> email: k.komaitis at strath.ac.uk
>
-------------- next part --------------
An HTML attachment was scrubbed...
URL: <http://lists.ncuc.org/pipermail/ncuc-discuss/attachments/20090916/3af08fcf/attachment.html>


More information about the Ncuc-discuss mailing list